- Видео 11 605
- Просмотров 75 797 122
Gilly Bonny Tv
Танзания
Добавлен 4 авг 2016
Is an online television registered with the Tanzania Communications Regulatory Authority -TCRA for reporting all news, information, social events, politics, economics, sports and development around the world, our registration number is TCRA/OCS-OT/074/2018.
In addition Gilly Bonny Tv reserves the right to delete any comments that violate the laws, policies and guidelines of the State or RUclips.
Ni runinga ya mtandaoni iliyosajiliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania -TCRA kwa ajili ya kuripoti habari zote, taarifa, matukio ya kijamii, siasa, uchumi, michezo na maendeleo duniani kote, namba yetu ya usajili ni TCRA/OCS-OT/074/2018.
Aidha Gilly Bonny Tv ina haki ya kufuta maoni ya mtu yoyote yanayokiuka sheria, sera na miongozo ya Nchi na youtube.
Contacts
Email: gillybonny1991@gmail.com
phone: +255655832712
WhatsApp: +255655832712
In addition Gilly Bonny Tv reserves the right to delete any comments that violate the laws, policies and guidelines of the State or RUclips.
Ni runinga ya mtandaoni iliyosajiliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania -TCRA kwa ajili ya kuripoti habari zote, taarifa, matukio ya kijamii, siasa, uchumi, michezo na maendeleo duniani kote, namba yetu ya usajili ni TCRA/OCS-OT/074/2018.
Aidha Gilly Bonny Tv ina haki ya kufuta maoni ya mtu yoyote yanayokiuka sheria, sera na miongozo ya Nchi na youtube.
Contacts
Email: gillybonny1991@gmail.com
phone: +255655832712
WhatsApp: +255655832712
TUNDU LISSU APONZWA NA KAULI ZAKE; MSOMI DR. MUCHUNGUZI AMJIBU VIKALI.
TUNDU LISSU APONZWA NA KAULI ZAKE; MSOMI DR. MUCHUNGUZI AMJIBU VIKALI.
Просмотров: 1 309
Видео
Dr. MUCHUNGUZI AINGILIA KATI SAKATA LA KWENDA ZANZIBAR KWA PASSPORT, AANIKA UKWELI HUU.
Просмотров 470День назад
Dr. MUCHUNGUZI AINGILIA KATI SAKATA LA KWENDA ZANZIBAR KWA PASSPORT, AANIKA UKWELI HUU.
KAULI YA RC CHALAMILA KWA WAFANYAKAZI KUHUSU KIKOKOTOO, MSHAHARA AMSHUKURU RAIS KWA HILI
Просмотров 178День назад
KAULI YA RC CHALAMILA KWA WAFANYAKAZI KUHUSU KIKOKOTOO, MSHAHARA AMSHUKURU RAIS KWA HILI
INASIKISHA MWANANCHI ADAIWA KUPORWA KIWANJA NA GBP PETRO STATION/WAZIRI AOMBWA KUINGILIA KATI
Просмотров 2,3 тыс.День назад
WAZIRI SILAA AOMBWA KUINGILIA KATI MGOGORO WA KIWANJA KATI YA GBP NA WANANCHI VILIO VYATALA TANGA MWANANCHI ADAIWA KUPORWA KIWANJA NA KAMPUNI YA GBP PETRO STATION
MWAKITINYA AWAVAA VIKALI CHADEMA "WAMEKOSA HOJA WANAKIMBILIA MAANDAMANO''
Просмотров 157День назад
MWAKITINYA AWAVAA VIKALI CHADEMA "WAMEKOSA HOJA WANAKIMBILIA MAANDAMANO'' Naibu Katibu Mkuu UVCCM Mussa Mwakitinya amesema Umoja wa Vijana wa Chama hicho hawaamini katika Mandamano na badala yake wanaamini kukaa chini na kujadiliana na kuwa na hoja za kufanya mambo yaende vizuri.
SIRI ILIYOJIFICHA CHAMA CHA UDP MWENYEKITI JOHN CHEYO AFUNGUKA
Просмотров 46День назад
SIRI ILIYOJIFICHA CHAMA CHA UDP MWENYEKITI JOHN CHEYO AFUNGUKA
IPTL yakanusha Tuhuma za Rushwa na Taarifa za Uongo Zilizochapishwa na Gazeti la MwanaHALISI
Просмотров 18День назад
IPTL yakanusha Tuhuma za Rushwa na Taarifa za Uongo Zilizochapishwa na Gazeti la MwanaHALISI
RC CHALAMILA "AELEZA ATHARI ZILIZOTOKANA NA MVUA ΝΑ ΜΙΚΑΚΑTI" WAZIRI BASHUNGWA KUFANYA ZIARA.
Просмотров 24День назад
RC CHALAMILA "AELEZA ATHARI ZILIZOTOKANA NA MVUA ΝΑ ΜΙΚΑΚΑTI" WAZIRI BASHUNGWA KUFANYA ZIARA.
UHAMIAJI WATOA ONYO KALI KWA WANAOFANYA UTAPELI MAENEO YA MIPAKA,KUINGIZA RAIA BILA UTARATIBU
Просмотров 77День назад
UHAMIAJI WATOA ONYO KWA WANAOFANYA UTAPELI MAENEO YA MIPAKA, KUINGIZA RAIA BILA UTARATIBU WA KISHERIA
BILA UOGA RC CHALLAMILA AMWAMBIA BASHUNGWA, TUKIHITAJI KUTIBU LAZIMA TUUMIE"
Просмотров 71День назад
BILA UOGA RC CHALLAMILA AMWAMBIA BASHUNGWA, TUKIHITAJI KUTIBU LAZIMA TUUMIE"
BASHUNGWA AWAONDOA WATENDAJI WA TEMESA KIVUKONI DAR KWA KUSHINDWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO
Просмотров 444День назад
BASHUNGWA AWAONDOA WATENDAJI WA TEMESA KIVUKONI DAR KWA KUSHINDWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO
WAKILI AMJIA JUU KUBENEA, ATOA MAAGIZO MAZITO
Просмотров 38День назад
WAKILI AMJIA JUU KUBENEA, ATOA MAAGIZO MAZITO
BALAZA LA WAFANYAKAZI UHAMIAJI WAKAA KIKAO KIZITO CHA BAJETI /KATIBU MKUU ATOA KAULI HII
Просмотров 28День назад
BALAZA LA WAFANYAKAZI UHAMIAJI WAKAA KIKAO KIZITO CHA BAJETI /KATIBU MKUU ATOA KAULI HII
VUTA NI KUVUTE KATI YA KUBENEA NA WAKILI MANYAMA YAFIKA PABAYA
Просмотров 41День назад
VUTA NI KUVUTE KATI YA KUBENEA NA WAKILI MANYAMA YAFIKA PABAYA
DARAJA LASOMBWA NA MAJI WANANCHI WAKOSA HUDUMA NDANI YA MWEZI MZIMA DAR
Просмотров 404День назад
DARAJA LASOMBWA NA MAJI WANANCHI WAKOSA HUDUMA NDANI YA MWEZI MZIMA DAR
SIMANZI NA VILIO VYATAWALA NYUMBA KIFURU ZAFUNIKWA NA MPOROMOKO WA MATOPE WANANCHI WAOMBA MUSAADA
Просмотров 1,4 тыс.День назад
SIMANZI NA VILIO VYATAWALA NYUMBA KIFURU ZAFUNIKWA NA MPOROMOKO WA MATOPE WANANCHI WAOMBA MUSAADA
VILIO VYATAWALA TEMEKE WANACHAMA WA CCM WADAIWA KUBOMOLEWA FLEM ZAO/RAIS SAMIA AOMBWA KUINGILIA KATI
Просмотров 2,4 тыс.День назад
VILIO VYATAWALA TEMEKE WANACHAMA WA CCM WADAIWA KUBOMOLEWA FLEM ZAO/RAIS SAMIA AOMBWA KUINGILIA KATI
MAFURIKO YAUA WATU DAR RC CHALAMILA ATOA NENO KWA WAFIWA NA WAATHILIKA
Просмотров 164День назад
MAFURIKO YAUA WATU DAR RC CHALAMILA ATOA NENO KWA WAFIWA NA WAATHILIKA
POLISI LONGIDO KUWACHUKULIA HATUA WALIO IBA MIFUGO
Просмотров 159День назад
POLISI LONGIDO KUWACHUKULIA HATUA WALIO IBA MIFUGO
BARABARA HIZI KUFUNGWA KESHO KUELEKEA SHEREHE ZA MUUNGANO
Просмотров 291День назад
BARABARA HIZI KUFUNGWA KESHO KUELEKEA SHEREHE ZA MUUNGANO
WAKUU WA SHULE, MADEREVA ZINGATIENI USALAMA WA WANAFUNZI KIPINDI CHA MVUA - MAJALIWA
Просмотров 110День назад
WAKUU WA SHULE, MADEREVA ZINGATIENI USALAMA WA WANAFUNZI KIPINDI CHA MVUA - MAJALIWA
RC CHALAMILA KUWAKUTANISHA JUKWAANI HARMONIZE, ALIKIBA, ZUCHU NA DIAMOND, RAIS SAMIA KUHUTUBIA TAIFA
Просмотров 162День назад
RC CHALAMILA KUWAKUTANISHA JUKWAANI HARMONIZE, ALIKIBA, ZUCHU NA DIAMOND, RAIS SAMIA KUHUTUBIA TAIFA
"SIMBA WASIKATE TAMAA, YANGA NI KUBWA KULIKO" MSOMI DKT. MUCHUNGUZI ACHAMBUA DERBY YA KARIAKOO.
Просмотров 45День назад
"SIMBA WASIKATE TAMAA, YANGA NI KUBWA KULIKO" MSOMI DKT. MUCHUNGUZI ACHAMBUA DERBY YA KARIAKOO.
UTATA KIFO CHA BABU G: BONIFACE JACOB, MALISA WASAKWA, MULIRO ANENA "ALIGONGWA" - KAMANDA MULIRO
Просмотров 174День назад
UTATA KIFO CHA BABU G: BONIFACE JACOB, MALISA WASAKWA, MULIRO ANENA "ALIGONGWA" - KAMANDA MULIRO
SWALI LA KUJIULIZA ILI USIJE KUITUKANA SERIKALI KESHO TUAZE NA NINI - RC CHALAMILA
Просмотров 1602 дня назад
SWALI LA KUJIULIZA ILI USIJE KUITUKANA SERIKALI KESHO TUAZE NA NINI - RC CHALAMILA
NONDO ZA RC CHALAMILA KWENYE DUA YA MIAKA 60 YA MUUNGANO WA TANZANIA
Просмотров 1032 дня назад
NONDO ZA RC CHALAMILA KWENYE DUA YA MIAKA 60 YA MUUNGANO WA TANZANIA
RC CHALAMILA ACHARUKA COCO BEACH/ ΚΑΜΑ ΜMECHUKUA HELA ZA WATU MZIRUDISHE/NITAFUNGA HAPA
Просмотров 25814 дней назад
RC CHALAMILA ACHARUKA COCO BEACH/ ΚΑΜΑ ΜMECHUKUA HELA ZA WATU MZIRUDISHE/NITAFUNGA HAPA
SKECHERS YALETA VIATU VYA KISASA, "WAJAWAZITO WANAWEZA KUVAA BILA KUINAMA"
Просмотров 8514 дней назад
SKECHERS YALETA VIATU VYA KISASA, "WAJAWAZITO WANAWEZA KUVAA BILA KUINAMA"
RC CHALAMILA ATANGAZA KUMUWEKA NDANI MKANDALASI | TUMECHOKA KUSUBILI MRADI HUU
Просмотров 24214 дней назад
RC CHALAMILA ATANGAZA KUMUWEKA NDANI MKANDALASI | TUMECHOKA KUSUBILI MRADI HUU
WAKANDARASI NA WAHANDISI SEKTA YA UJENZI WAKUTANISHWA GEITA
Просмотров 9914 дней назад
WAKANDARASI NA WAHANDISI SEKTA YA UJENZI WAKUTANISHWA GEITA
Mbona munatung'ang'ania sana hatutaki jamaniii hee
❤❤❤❤
Hii nchi wanadhani watyu waoga iko siku watachafukwa tz itakua sehem mbaya ya kuish
Bado hujasema Mazingira yetu munayaharibu na maadili yetu munayaharibu Vovote na iwe siku moja wazanzibar wataondoka na utumwa wa tanganyika
Mzee huyu kila anapohojiwa na vyombo vya HABARI YEYE NI KUSIFU NA UCHAWA TU ,,HAKUNA ASIEJUWA KWASASA CHADEMA WAKO JUU KABISA NA WANANCHI WANAHASIRA YA MABADILIKO BAADA YA CCM KUPORA UCHAGUZI WA 2020 ,,,WEWE CHAWA ENDELEA KUPOROJA TU,,
Namuomba allah atuepushe na shari ya tundu lissu
Wewe una mashavu utakuwa unafaidika na CCM
Uwezo wa huyu mzee ni mdogo sana Acha siasa za kizamani
Ww ni kama shule imekimbia umebaki na ulichonacho
Achana na Mwl. Nyerere ndiyo chanzo cha kuiharibu Nchi hii na Mwl. Nyerere siyo Mungu
Wewe ni kabila gani na umesoma wapi nina wasiwasi na elimu yako. Huo udaktari umeshindwa kumwelewa lisu unatoa mate kumwita mbaguzi. Unatumika wewe wa kupe uwaziri.
Ukiona mtu yeyote ananakili maneno ya julius nyerere,na kumsifu basi ujue mtu huyo ni ZUZU.yaani uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sana.nyerere hakuwa chochote zaidi ya mtu wa HILA. Wenye akili wananielewa
Hapana msom
Asante maelezo yanaeleweka
Acha kutujaza ujinga jibu oja katiba ya zanzibar inasemaje juu ya umiliki wa aridhi na uraia? Acha uchawa
Itisheni uchsguzi kiona nani anataka Muungano. Hakuna kitu tunanufaika na Muungano.
Mchunguzi unaunga mkono Samia kuendelea kuuza mali zetu bara, yeye kuwa Rais ana akili kuliko Watanzania woote, na kuwa na maono makubwa ya kuuza rasilimali zetu? Ujitafakali kwa maono yako haya. Acha kuwa chawa.
Ameuza mali gani za kwenu?
Ameuza mali gani za kwenu Raisi samia?
Tunaishangaa serika kutokuchukua hatua ya kumkamata lisu
Kamkamate wewe, tatzo mnajibu kiccm nenda kwenye ukwel
Lisu ashitakiwe
Msomi hewa
Kweli wewe una hoja zaifu sana unaakili za mgando ungekuwa na nia nzuri ungeonyesha utatuzi wa kile kinachokera kwenye mngano sio uccm
Muchunguzi ni chawa wala hana influence yeyote Tanzania
Huyu sio msomi kanunua vyeti
Muungano ukivunjika wazanzibari tutakula njaa mwezi mmoja tu hofu ya kupinduliwa. Lakini tanganyika mtakula njaa kwa miaka 10 kwa sababu tanginyika haipo popote dumiani UN wala SADEC Haitambiliki popote.
Akili tope!! Tanganyika haipo popote kwa vipi? Tanganyika ulikuwa chini ya League of nations baada ya vita Kuu ya kwanza na mwaka 1922 ikawekwa (territory) la Uingereza kutoka kwa mjerumani, wala siyo koloni la Uingereza kwa maandalizi ya kujitawaka. Hata League of nations ilibapodilshwa na kuwa United nations organization (UNO) Tanganyika ilibaki ni Territory la Uingereza kwa madhumuni ya kuandaliwa kujitawala. Hadi tarehe 9/12/1961 ilipopata uhuru. Utasemaje Tanganyika haitambuliwi popote? Kati ya Tanganyika na Tanzania nini kilitangulia? Tanganyika IPO kama nchi na watanganyika wapo kama Taifa. Ni suala la wakati tu utaongea!
Wewe ni msakatonge na siyo mchungaji uliyeitwa na Mungu. Unaudharirisha uchungaji. Yanga wakiwa mabingwa mwakahuu unabii wako utakuwa ni feki. Ungana na waganga wa kienyeji. Au utubu Toba ya kweli.
Ukweli unaumaa
Una mtindio wa ubongo
Fikiri tena
Ww mzee kitambulisho cha Tanzania kipo sawa je cha uzanzibari kiko wapi kuna kitambulisho cha mkaazi tu pasport itakua vizuri sana sana ikiwepo itawatia faraja wazanzibari
Itisha mdahalo na lisu matata yaishe
@@NardhisMhagama-sy3eq lisu anifanye nn kwenye mdahalo mwache aropokwe halafu aje aombe kura zanzibar wazanzibari usione wazanzibari wanpenda ucheshi ukaona wamemfurahia lisu naye boya tu.
Hakuna msukuma atamfukuza mzaramo wala kabila lolote kumfukuza mtu wakabila lingine, acheni kuukumbatia muungano ambao hauna faida kwa wazanzibar wala Tanganyika, ni faida kwa ccm tu
Tanganyika hatutaki muungano tena kwa kumaanisha
Mara nyingi wafanyabiashara wa mafuta wanashirikiana na mipango miji wanabadilisha miundo mbinu ya miji bila ya hata kuwashirikisha wananchi majerani wa sehemu husika.
❤❤❤❤
Waziri slaa apunguze haraka asikilize kessi na afike eneo husika,katika hili amezinguwa
Naomba namba zenu za simu
0784139052
Waziri Jerry Slaa hajakula hongo ila amesoma karatasi za kupewa na wakuu katika eneo la Tanga, huyu bwana Mwenye Kiwanja amfate waziri na hizi hati za vibali vyake hii ishu itaisha mara moja tu. Aache maelezo meengi tu wakati yuajua hakika waziri huyo atalitatua sawala bila kupinda maneno 😢
Nyumba zimejaa maji anakatalia ataishi vip maji yakipungua atarud mungu wangu kumbe kibit ndo kuna maisha magum hiv nyumba hiz hata k8j8jin kwetuy hakun hata jiko hakun kama hiiz duuh maisha nimagum san
Sikuzote nasemaga huyu wazir anakurupukaga kibabe ona anavyopoteza haki za watu
Nyie ni wavamizi kama wavamizi wengine hiyo siyo mali yao kweli kaka wakati mwingine tusiwe wanazi wao wakilipe chama wao
Sasa ilo eneo lako au la chama basi kama la chamakimeuza ni halali nyie mli hoze eneo kama lenu kodi mlikuwa mnalipa wapi longolongo kaka
Hili alilosema waziri kuwa barabara imejengwa kwa kodi za wananchi linanitiya mashaka makubwa sana kwa sababu barabara hii ina urefu wa mita 120 tu na inatumika na secretary wa GBP tu. Mama Samia Suluhu Hasan hawezi fanya haya aliyozungumza Waziri.
Na kipo chengine hapo tanga pia kanyanganya huyo gbp
Waziri kalishwa vitango pori
Kama waziri hakummpa haki ya kumsikiliza kama anavyofanya kwa watu wengine, basi atakuwa hakumtendeya haki huyo bwana Farid
Eneo lina mgogoro. Alafubunawekezanhapo. Je ukichomewa.nyumva?
hiv umaandik nn hapo mzee
Mungu asifiwe ,naamini kwamba Mungu ata saidiya Africa
Mwamba huyo
Iyo dawa inatibu ukipima unakuta huna Mimi nimetumia
Ulitumia lini
Umetumia kwa muda gani?
Ila kwa sasa tulipofikia ndani ya hii nchi yetu,ni kubaya sana.Yaani maskini hana haki kabisa ndani ya nchi yake.Kila sehemu utasikia bomoa bomoa,kisa mwekezaji,watu wanaondolewa kwenye maeneo yao,kisa mwekezaji.Yaani mwekezaji ana haki zaidi kuliko wananchi wenyewe.Sasa sijui ni watendaji wa Serikali au ni kitu gani.Kwa sasa watu wanaichukia CCM kwa vitu kama hivi hivi.Hakipo kwa ajili ya wananchi,bali ni kuwadidimiza waliokiweka madarakani na kumfanyia Rais wetu madoa kwa maslahi yao.Hapa Rais awe makini,watu hawa ndio watakaomharibia kabisa.
Mheshimiwa bashungwa Ila tukiacha mambo mengine naona kabisa quality ya uraisi unayo kabisa kabisa kama ndo sisi tunatoa uaraisi sisi wananchi tungekupa kabisa
poleni sana waathirika Mungu awatie nguvu kwaa kweli, kila konnaa mafuriko cha kufanya serikali sasa imeshazidiwa, Tuommbe na taasisi waingilie kati kuchhangia fungu laa maafa kwa kweli
Muda wa maneno umekwisha ni kuondoa watendaji wasiona tija wasionewe huruma ondoa.Tunakerwa na kuendeshewa na wawekezaji/ubia wakati wtz wenye uwezo wapo.👍